Familia ya Marehemu Lt Col Anslem Paza Mboya (mstaafu) inapenda kutoa shukrani za dhati kwa ndugu jamaa majirani na marafiki waliotufariji katika kipindi Kigumu cha msiba wa mpendwa wetu Marehemu Lt Col Anslem Paza Mboya (mstaafu) uliotokea tarehe 3/8/16 na kuzikwa tarehe 5/8/16 mjini Morogoro.
Kipekee tunatoa shukrani zetu kwa Mwenyezi Mungu, madaktari wa Hospitali ya Tumaini, hospital ya SUA, Jeshi la wananchi JWTZ Makao Makuu, SMH Pangawe, Wachungaji na watumishi wote tulioshirikiana nao
Tuungane pamoja kwa kusema " Mshukuruni bwana kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake ni za milele"
1Nyak16:34
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...