Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Lawreny Vimenty(kulia) akimkabidhi John Mwalusako simu aliyonunua jana katika Gulio la simu linaendeshwa na kampuni hiyo, katika kituo cha mabasi cha nane nane wakati wa maadhimisho ya wakulima Nane nane yanayoendelea katika uwanja John Mwakangale jijini Mbeya.
Wacheza shoo wakiendelea kutoa burudani kwa wateja waliofika kwenye Gulio la simu lililoendeshwa na Vodacom Tanzania,katika kituo cha mabasi cha nane nane wakati wa maadhimisho ya wakulima Nane nane yanayoendelea katika uwanja John Mwakangale jijini Mbeya.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania(wenye flana nyeusi) wakitoa huduma mbalimbali kwa wateja waliofurika katika Gulio la simu liloandaliwa na kampuni hiyo,katika kituo cha mabasi cha Nane nane nje ya viwanja vya maonyesho ya wakulima Nane nane maarufu John Mwakangale.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...