Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Selemani Jafo amekabidhi madawati 537 kwa Wilaya ya Kisarawe Mkoani Pwani.Baada ya kukabidhi madawati hayo aliongea na walimu na wanafunzi katika shule ya msingi Kibasila na kukagua ujenzi wa nyumba ya walimu na vyoo vya wanafunzi pamoja na kukagua ujenzi wa barabara inayojengwa na mfuko wa Jimbo.
Katika picha Waziri Jafo akiwa kwenye picha pamoja na wanafunzi wa shule ya msingi Kibasila iliyopo wilayani kisarawe.
Wakati huo huo Waziri Jafo akiwa katika picha ya pamoja na Wajasiliamali wanaopata mafunzo ya Kilimo mjini Kisarawe mara baada ya kuwatembelea
Katika picha Waziri Jafo akiwa kwenye picha pamoja na wanafunzi wa awali na msingi shule ya msingi Kibasila iliyopo wilayani kisarawe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...