Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Selemani Jafo amekabidhi madawati 537 kwa Wilaya ya Kisarawe Mkoani Pwani.Baada ya kukabidhi madawati hayo aliongea na walimu na wanafunzi katika shule ya msingi Kibasila na kukagua ujenzi wa nyumba ya walimu na vyoo vya wanafunzi pamoja na kukagua ujenzi wa barabara inayojengwa na mfuko wa Jimbo.

Katika picha Waziri Jafo akiwa kwenye picha pamoja na wanafunzi wa shule ya msingi Kibasila iliyopo wilayani kisarawe.

Wakati huo huo Waziri Jafo akiwa katika picha ya pamoja na Wajasiliamali wanaopata mafunzo ya Kilimo mjini Kisarawe mara baada ya kuwatembelea

Katika picha Waziri Jafo akiwa kwenye picha pamoja na wanafunzi wa awali na msingi shule ya msingi Kibasila iliyopo wilayani kisarawe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...