Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua pazia kuashiri ufunguzi rasmi wa wodi mpya ya Hospitali Teule ya Wilaya ya Nkansi, katika ziara ya mkoa wa Rukwa Agosti 23, 2016. nyuma yake ni mkewe Mary na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Said Mtanda.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mama Mary Majaliwa kwa pamoja na Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Zelote Stephene na Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, wakikata utepe kuashiri ufunguzi rasmi wa wodi mpya ya Hospitali Teule ya Wilaya ya Nkansi, katika ziara ya mkoa wa Rukwa Agosti 23, 2016. nyuma yake ni mkewe Mary na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Said Mtanda.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua vitanda katika wodi mpya ya Hospitali Teule ya Wilaya ya Nkansi baada ya kuizindua akiwa katika ziara ya mkoa wa Rukwa Agosti 23, 2016. Kushoto kwake ni mkewe Mary na wapili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Zelote Stephene.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka kwenye Hospitali Teule ya wilaya ya Nkansi baada ya kufungua wodi akiwa katika ziara ya mkoa wa Rukwa Agosti 23, 2016.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...