Wachezaji wa Liverpool wakifurahia ushindi wao wa bao 5-1 dhidi ya Hull uwanjani kwao Anfield leo

 Coutinho akilenga nyavu ndogo kuandika bao la nne kutoka mita 25

Kocha Jurgen Klopp akifurahia ushindi, ila safari hii kimyakimya...

Coutinho na Roberto Firmino wakifanya utani baada ya wote kutingisha nyavu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...