Kundi la DDI Crew lililoingia fainali ya mashindano yaliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania ya Dance 100%,  wakishindana kwenye nusu fainali ya  mashindano  hayo katika viwanja vya Don Bosco  jijini Dar es
Salaam mwishoni mwa wiki.
 Wasanii wa Clever Boys ambao wameingia fainali ya mashindano yaliyodhaminiwa na Vodacom Tanzania ya Dance 100%, wakichuana kwenye nusu fainali ya  mashindano   hayo katika viwanja vya Don Bosco  jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 
 Wakionyesha vipaji vyao ni kundi la Wazawa ambao wamefanikiwa kuingia fainali ya mashindano yaliyodhaminiwa na  Vodacom Tanzani ya Dance 100%, wakati wakipambana kwenye nusu fainali ya  mashindano  ya Dance 100%  katika viwanja vya Don Bosco  jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Kundi la Wazawa ambao wamefanikiwa kuingia fainali ya mashindano yaliyodhaminiwa na  Vodacom Tanzani ya Dance 100%
Mmoja wa Majaji wa mashindano yanayodhaminiwa na Vodacom Tanzania ya Dance100%, Super Nyamwela (kulia) akionyesha umahiri wake wa kucheza kwenye nusu fainali ya  mashindano hayo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Wanaoshangilia ni majaji wenzake, Lotus Kyamba  na Khalila Kellz.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...