Mshindi wa shindano la kunywa Nzagamba ushinde mkoa wa Mara, Majani Manyama (alieshika kofia mkononi) akikabidhiwa zawadi ya Dume la Nzagamba toka kwa mkuu wa kiwanda cha Nzagamba kanda ya ziwa, Helbert Ilembo mara baada kuibuka mshindi katika droo iliyocheshwa kwenye kitongoji cha Bukima wilayani Musoma mkoa wa Mara. kulia ni Meneja mauzo na usambazaji wa kinywaji cha Nzagamba kanda ya ziwa, Peter Mwambenja mwenye kofia nyekundu na katikati ni meneja mauzo ndugu James Makala.

Mmoja wa wateja wa kinywaji cha Nzagamba mkoani Mara akiwa amefungwa kitambaa usoni ili kuvuruga kuponi za shindano la Nzagamba na baadaye kumchagua kuponi moja iliyopelekea Ndugu Majani Manyama aliibuka kuwa mshindi wa dume la Ng'ombe (Nzagamba) lililofanyika katika Eneo ya Bukima wilayani Musoma mkoa wa Mara. Kushoto ni Meneja mauzo na usambazaji wa kinywaji cha Nzagamba kanda ya ziwaPeter Mwambenja na baadhi ya wateja wa eneo hilo.
Mmoja kati ya watumiajai wa Kinywaji cha Nzagamba mkoani Mara akifurahia kinywaji hicho wakati wa kufanyika kwa Droo ya kumtafuta mshindi wa shindano la Kunywa Nzagamba ushinde Dume la Ngombe, lililofanyika katika Eneo ya Bukima wilayani Musoma mkoa wa Mara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...