Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, akikabidhiwa Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2015/2016 na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga. Makabidhiano yaliyofanyika Wizarani jijini Dar es Salaam, Septemba 30, 2016

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (kushoto kwa waziri wa Fedha na Mipango aliyekaa katikati), akifafanua jambo kabla ya kukabidhi Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2015/2016.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (kushoto), akifafanua jambo kabla ya kukabidhi Ripoti ya ukaguzi kwenye Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa Fedha 2015/2016. Kushoto kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA-Dkt. Laurent Shirima.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), Balozi DKT. Matern Lumbanga (kushoto), akitoa taarifa aya ripoti hiyo mbele ya waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kwenye makao Makuu ya Mamlaka hayo, Jijini Dar es salaam, Septemba 30, 2016. Kulia kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Dkt. Laurent Shirima na kushoto kwake ni Wajumbe wa Bodi hiyo Dkt. Leonard Chamriho ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi) na Dkt. Edmund Mndolwa.
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA), wakimsikiliza Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango baada ya kupokea Ripoti ya Ukaguzi wa Manunuzi ya Umma kwa mwaka wa fedha 2015/2016. Waziri Mpango aliwataka kufanya kazi kwa bidii ili kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Tano katika kukuza uchumi na kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025 kwa kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za umma.(Picha zote na Wizara ya Fedha na Mipango).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...