Mgeni Rasmi katika Mashindano ya Miss Ilala 2016, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akingumza na kutoa nasaha zake kwa Warembo wao ambao pia ni Mabalozi wazuri wa utunzaji wa Mazingira katika Wilaya Ilala. Mh. Mjema amewapongeza Warembo hao kwa kujitoa kwao katika shunguli mbali mbali za kijamii ikiwa ni pamoja na kusaidia wasiojiweza, amesema huo ni mfano wa kuigwa na wengine pia. Alieibuka Mshindi na kuwa Miss Ilala 2016, ni Judith Kabete (13), Mshindi wa Pili ni Nuru Kondo (9) pamoja na Grace Marikita (4) alieshika nafasi ya tatu.
 Baadhi wa Warembo hao wakiwa na bango la kuonyesha juhudi zao za kupiga vita uchafuzi wa Mazingira katika Wilaya ya Ilala.
 Warembo wakitoa bururani ya ufunguzi.
 Baadhi ya Warembo wakipita na mavazi ya Ubunifu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...