Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Dkt. Agness Kijazi akizungumza katika warsha ya siku moja kwa Waandishi wa Habari juu ya Masuala ya Utabiri wa Hali ya Hewa kwa Msimu huu, inayofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Kituo hicho, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Meneja wa Kituo cha Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Samuel Mbuya akitoa mafunzo kwa baadhi ya Waandishi wa Habari juu ya Hali ya Hewa kwa Msimu wa Mwaka 2016, inayofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Kituo hicho, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Huduma za Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Hamza Kabelwa akifafanua jambo wakati akijibu maswali, katika warsha ya siku moja kwa Waandishi wa Habari juu ya Masuala ya Utabiri wa Hali ya Hewa kwa Msimu huu, inayofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Kituo hicho, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Meneja wa Kituo cha Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Samuel Mbuya akifafanua jambo wakati wa Warsha hiyo.
Mkurugenzi wa Utafiti na Matumizi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Dkt. Ladislaus Chang'a akielezea jambo kwa Waandishi wa Habari, wakati wa warsha ya siku moja kwa Waandishi wa Habari juu ya Masuala ya Utabiri wa Hali ya Hewa kwa Msimu huu, inayofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Kituo hicho, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...