Wananchi wa Zambia wakiwa kwenye foleni ya kuingia kwenye Uwanja wa Mashujaa Jijini Lusaka tayari kwa Shamrashamra za kuapishwa Rais Edgar Lungu wa nchini hiyo muda huu. Makamu wa Rais, Mh. Samira Suluhu Hassan atamwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Sherehe hiyo.
Wengi wajitokeza kushuhudia Rais wao akiapishwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...