Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na wananchi wa Morogoro mjini.kijiji cha Msamvu alipokua njiani akielekea Mkoani Dodoma kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu leo Octoba 15,2016
Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la kisanii
Afande Sele akizungumza jambo mbele ya Makamu wa Raisi na wananchi,mara baada ya Makamu wa
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kusalimiana na wananchi wa Morogoro mjini kijiji cha Msamvu alipokua njiani akielekea Mkoani Dodoma kuanza
ziara ya kikazi ya siku tatu leo Octoba 15,2016. Pichani kulia ni MKuu wa mkoa wa Morogoro Dkt Kebwe Stephen.
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na wananchi wa Morogoro katika kijiji cha Msamvu leo Octoba 15,2016.
MKuu wa mkoa wa Morogoro, Dkt Kebwe Stephen akizungumza jambo na Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la kisanii Afande Sele mapema leo mchana,Mara baada ya Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kusalimiana na wananchi wa Morogoro mjini kijiji cha Msamvu alipokua njiani akielekea Mkoani Dodoma kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu leo Octoba 15,2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...