Waziri asiekuwa na Wizara Maalum na Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima AFP
Said Soud Said akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na kuwataka
Wazanzibari kuwekeza ili kujikwamua kiuchumi,katika ukumbi wa Jumba la
Utamaduni Rahaleo Zanzibar.
Waziri asiekuwa na Wizara Maalum na Mwenyekiti wa Chama cha
Wakulima AFPSaid Soud Said akifafanua jambo alipofanya mazungumzo na
Waandishi wa Habari kuhusiana na kuwataka Wazanzibari kuwekeza ili
kujikwamua kiuchumi,katika ukumbi wa Jumba la Utamaduni Rahaleo
Zanzibar.kulia ni Mkuu wa Habari Idara ya Habari Maelezo Zanzibar
Ramadhani Ali.
-Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri
asiekuwa na Wizara Maalum na Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima AFP Said
Soud Said alipofanya mazungumzo nao kuhusiana na kuwataka Wazanzibari
kuwekeza ili kujikwamua kiuchumi,katika ukumbi wa Jumba la Utamaduni
Rahaleo Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...