Waziri asiekuwa na Wizara Maalum na Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima AFP Said Soud Said akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na kuwataka Wazanzibari kuwekeza ili kujikwamua kiuchumi,katika ukumbi wa Jumba la Utamaduni Rahaleo Zanzibar.
 Waziri asiekuwa na Wizara Maalum na Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima AFPSaid Soud Said akifafanua jambo alipofanya mazungumzo na Waandishi wa Habari kuhusiana na kuwataka Wazanzibari kuwekeza ili kujikwamua kiuchumi,katika ukumbi wa Jumba la Utamaduni Rahaleo Zanzibar.kulia ni Mkuu wa Habari  Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Ramadhani Ali.

 -Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri asiekuwa na Wizara Maalum na Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima AFP Said Soud Said  alipofanya mazungumzo nao kuhusiana na kuwataka Wazanzibari kuwekeza ili kujikwamua kiuchumi,katika ukumbi wa Jumba la Utamaduni Rahaleo Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...