Mshambuliaji wa Ndanda FC, Omary Mponda akichuana na kiungo wa
African Lyon, Omary Salum katika mchezo wa LigiKuu Tanzania Bara uliofanyika
kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. African Lyon ilishinda 1-0. (Picha na Franis Dande)
Mshambuliaji wa Ndanda FC, Omary Mponda (kushoto) akiwania mpira na beki wa African Lyon, William Otong.
Beki wa African Lyon, Milaji Seleman (kushoto) akiwania mpira na mshambuliaji wa Ndanda, Riphat Hamis.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...