Asalaam alaykum warahmatullahi wabarakatu. 
Alhamdullilah siku Mpya ya Jumapili , tumeamkia Eneo la kazi 
HARAMBEE YA UJENZI WA JENGO LA MARKAZ SHAAFIYATUL AZHARIYA
MBEZI SALASALA, DAR ES SALAAM.
Mchango wako ni Muhimu sana tuweze kuhitimisha zoezi hili la Ujenzi .
Inajulikana hali imebana kigawe kidogo chako kwa kutengeneza Akhera yako.
Tia nia katika katika mambo yako yote kupitia Ushiriki wa Jambo hili la Allah akufanyie Wepesi na atufanyie Wepesi katika Mambo yetu yote .
Tuma Mchango wako kupitia Namba 0715800772.
TUMIA NDUGU ZAKO NDUGU, MARAFIKI, JIRANI, 

WAISLAM WENZETU 
huenda na wao wakachangia.
Na Mratibu Msimamizi GHALIB N MONERO.
16/10/2016.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...