Asalaam alaykum warahmatullahi wabarakatu.
Alhamdullilah siku Mpya ya Jumapili , tumeamkia Eneo la kazi
HARAMBEE YA UJENZI WA JENGO LA MARKAZ SHAAFIYATUL AZHARIYA
MBEZI SALASALA, DAR ES SALAAM.
Mchango wako ni Muhimu sana tuweze kuhitimisha zoezi hili la Ujenzi .
Inajulikana hali imebana kigawe kidogo chako kwa kutengeneza Akhera yako.
Tia nia katika katika mambo yako yote kupitia Ushiriki wa Jambo hili la Allah akufanyie Wepesi na atufanyie Wepesi katika Mambo yetu yote .
Tuma Mchango wako kupitia Namba 0715800772.
TUMIA NDUGU ZAKO NDUGU, MARAFIKI, JIRANI,
WAISLAM WENZETU
huenda na wao wakachangia.
Na Mratibu Msimamizi GHALIB N MONERO.
16/10/2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...