Mwenyekiti
wa Kikosi cha Kuzuia Magenzo Zanzibar (KMKM) Sports Club Kapteni Khatib
Khamis Mwadini akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu mbio za
Kilomita 10 zitakazofanyika tarehe 29 mwezi huu kuanzia Makao Makuu ya
kikosi hicho Kibweni na kumalizikia Uwanaja wa Maisara Mjini Zanzibar.
Mwenyekiti
wa Chama cha riadha Zanzibar Abdulhakim Cosmas akitoa maelekezo juu ya
mbio za Kilomita 10 zilizoandaliwa na Kikosi cha KMKM katika Mkutano na
waandishi wa habari uliofanyika Makao Makuu ya Kikosi hicho Kibweni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...