Mkuu
wa Mkoa wa Kilimanjaro Said Meck Sadiki akiongozana na Mkurugenzi wa
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) Joyce
Msiru wakati alipowasili katika chanzo cha maji cha Shiri kwa ajili ya
zoezi la kuotesha miti ikiwa ni kuadhimisha miaka 17 ya kifo cha Baba wa
Taifa ,Hayati Mwl Julius Nyerere.
Wakuu
wa wilaya za Hai na Moshi ,Gelasius Byakanwa (wa pili toka kulia) na
Kippi Warioba (wa tatu toka kushoto waliungana na Mkuu wa mkoa wa
Kilimanjaro katika zoezi hilo.kulia ni Katibu tawala wa mkoa wa
Kilimanjaro Mhandisi Aisha Amour.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadiki akizungumza kabla ya kuanza kwa zoezi la uoteshaji miti.
Mkuu
wa Mkoa wa Kilimanjaro Said Meck Sadiki akiotesha mti katika eneo la
chanzo cha maji la Shiri Njoro lililopo wilayani Hai mkoani Kilimanjaro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...