Sherehe za Mahafali ya tatu ya shule ya Mkuza Girls iliyopo Kibaha ambapo wanafunzi na Bodi ya shule wanapata picha ya pamoja na mgeni rasmi msaidizi wa Askofu Mchungaji Chediel Lwiza
Mgeni rasmi Msaidizi wa Askofu Mchungaji Chediel Lwiza katika picha ya pamoja na pamoja na wajumbe wa bodi wa shule ya Mkuza
Wajumbe wa Bodi wa Shule Mkuza wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mwanasheria Happy Mchaki na Bi Pamella Solomon walipokuwa wakitembelea miradi mbalimbali shulen hapo kabla ya mahafali kuanza
Mjumbe wa bodi Bi. Pamella Solomon akitoa zawadi ya t-shirt kwa wahitimu 5 kama mchango wake wakati wa harambee ya kukarabati bweni shuleni hapo
Wajumbe wa Bodi wakisikiliza kwa makini mmoja wa wanafunzi wa shuleni hapo akielezea 'acceleration of gravity' kabla ya kuanza kwa sherehe za mahafali ya kidato cha nne.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...