MKUU wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Dar es Salaam (DUCE), Prof. William Anangisye (kushoto) akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Bw. David Keasi kwenye Mahafali ya Tisa ya Shule ya St. Thomas More Machrina High School iliyopo jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni Mwanzilishi wa shule hiyo Prof.Justinian Galabawa (katikati) na Mkuu wa Shule, Bw. Constantine Kirwanda.
Baadhi ya Wahitimu wa Kidato cha Nne wakiimba wimbo wa shule kwenye Mahafali ya Tisa ya Shule ya St. Thomas More Machrina High School iliyopo jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...