Mgeni Rasmi alikuwa Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akifanya uzindu rasmi wa Tuzo hizo.
Mgeni rasmi, Mama Samia Suluhu Hassan akifurahi jambo na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage na Viongozi wengine baada ya Uzinduzi wa Kampeni ya Fahari ya Tanzania uliofanyika katika hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na TPSF Mlimani city jijini Dar es Salaam Oktoba 7 2016.
Mgeni Rasmi alikuwa Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akikabidhi cheti cha shukrani kwa Mkurugenzi wa Masoko na Huduma Kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully-Esther Mwambapa ambao ndio wadhamini Wakuu wa hafla hiyo.
 Mgeni Rasmi alikuwa Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage wakiwa katika picha ya pamoja na waadaji, wadhamini, na washindi wa tuzo hizo. Kushoto (kwake) Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, na Uwekezaji, Profesa Adolf Mkenda (wa pili kushoto) Mkurugenzi Mkuu wa TSPF, Godfrey Simbeye (kushoto) na viongozi wengine.
Mkurugenzi wa Masoko na Huduma Kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully-Esther Mwambapa ambao ndio wadhamini Wakuu akitoa neno la shukrani na kuwakaribisha wageni kwa chakula.  
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...