Mene wa Benki ya NMB Mkoani Mwanza, Abraham Augustino akitoa hotuba ya ufunguzi katika bonanza maalum la kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere lililoandaliwa na Mfuko wa Mafao ya Kustaafu - GEPF, lililofanyika katika viwanja vya DIT jijini mwanza
meza kuu wakifuatilia kwa makini michezo mbalimbali iliyokuwa ikiendelea katika bonanza hilo, huku vikombe vikiwasubiri washindi.
Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu - GEPF, Aloyce Ntukamazina (mwenye kofia kulia) akiwa tayati kwa kuwaongoza washiriki wa shindano kukimbiza kuku, katika bonanza maalum la kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere lililoandaliwa na Mfuko huo, jijini Mwanza hivi karibuni.
Washiriki wa Mchezo wa kuvuta Kamba wakichuana vikali, huku kila timu ikionyesha uwezo wake.
Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja wa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu - GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza jambo kwa washiriki, katika bonanza maalum la kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere lililoandaliwa na Mfuko huo, jijini Mwanza hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...