Naibu Waziri wa Habari Utamaduni
Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akipiga mpira ikiwa ni ishara ya
kubariki fainali za mashindano ya Youth Development Cup yaliyofanyika
katika viwanaja vya kituo cha michezo Jakaya Mrisho Kikwete leo Oktoba
13, 2016.
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akitembelea na kujionea viwanja mbalimbali vya michezo katika kituo cha Jakaya Mrisho Kikwete Youth Park kilichopo Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam huku akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Ufundi wa kituo hicho Bw. Ray Power leo Oktoba 13,2016.
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akisalimiana na wachezaji wa timu ya vijana ya Home Team Academy kutoka Temeke kabla ya kuanza kwa fainali ya mashindano ya Youth Development Cup 2016 leo Oktoba 13, 2016.
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akisalimiana na wachezaji wa timu ya vijana ya Bom Bom kutoka Ilala kabla ya kuanza kwa fainali ya mashindano ya Youth Development Cup 2016 leo Oktoba 13, 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...