Meneja masoko huduma za kifedha wa Vodacom Tanzania ,Noel Mazoya (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)baada ya kumpata mshindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya Jiongeza na M-Pawa,ampapo mkazi wa Kiloleli mkoani Mwanza Bi. Paulina Kulwa,aliipuka na ushindi wa kitita cha shilingi Milioni 100/- hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Msimamizi wa bodi ya michezo ya Kubahatisha nchini,Emannuel Ndaki na Meneja wa Huduma za M-pawa wa benki ya CBA, Eric Luyangi.
Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Emannuel Ndaki(kushoto)akihakiki namba ya mshindi wa promosheni ya Jiongeze na M-Pawa wakati alipokuwa akionyeshwa na Meneja wa Huduma za M-pawa wa benki ya CBA, Eric Luyangi(katikati)kabla ya kupigiwa simu na Meneja masoko huduma za kifedha wa Vodacom Tanzania ,Noel Mazoya (kulia) ambapo mkazi wa Kiloleli mkoani Mwanza Bi. Paulina Kulwa, aliipuka na ushindi wa kitita cha shilingi Milioni 100/- hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Promosheni hiyo inaendeshwa na Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na benki hiyo.
Baadhi ya waandishi wa habari wakichukua matukio mbalimbali katika droo kubwa ya mwisho ya Jiongeze na M-Pawa,ambapo Bi. Paulina Kulwa mkazi wa Kiloleli mkoani Mwanza aliipuka na ushindi wa kitita cha shilingi Milioni 100/- hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...