katibu wa Hospitali ya Litembo Anna Mwenda kulia,akizungumza leo kabla ya kupokea msaada wa shuka 46 kutok kwa benki ya NMB Tawi la Litembo wilayani Mbinga,wa pili kulia meneja wa NMB Litembo Kennedy Chinguile na wa tatu kaimu mganga mkuu wa hospitali hiyo Dkt Maurus Ndomba.
Katibu wa hospitali ya Litembo wilayani Mbing Anna Mwenda kulia akimshukuru mmoja kati ya wafanyakazi wa BENKI ya Nmb tawi la Litembo baada ya kupokea msaada wa shuka 46 kwa jili y amtumizi katika hospitali hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Nmb tawi la Litembo wilayani Mbinga wakitoa misaada mbalimbali kwa wagonjwa waliolazwa katika hopitali ya Litembo wilayani Mbinga.
Mmoja wa wagonjwa aliylezw katika hospitali ya Litembo wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Folkwati Komba(4)akimwamkia mkono mfanyakazi wa benki ya Nmb ambaye hakufahamika jina lake mara baada ya benki hiyo kutoa msaada wa mashuka na vitu mbalimbali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...