SIMU.TV: Rais Dr John Magufuli, ameliagiza shirika la umeme Tanesco kuhakikisha viwanda vyote vikubwa nchini vinapatiwa umeme wa uhakika; https://youtu.be/jayEKBxkcnM

SIMU.TV: Waziri wa Tamisemi George Simbachawene, ameagiza mamlaka husika kumvua madaraka mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya kutwa Mbeya;https://youtu.be/GnLYc7laaAo

SIMU.TV: Benki ya dunia inakusudia kuipatia Tanzania ruzuku na mkopo wenye masharti nafuu wa dola za kimarekani bilioni moja; https://youtu.be/n8pkdinO2x8

SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa, ameagiza kufanyika kwa uchunguzi juu ya uuzwaji wa kiwanja cha CDA kilichouzwa zaidi shilingi milioni 200 huku CDA ikiambulia milioni 6 tu;https://youtu.be/Bpw_0p9y2gw
SIMU.TV: Kuelekea kilele cha maadhinmisho ya kifo cha Mwalimu Nyerere, tunaendelea kukuletea mfululizo wa baadhi ya hotuba zake muhimu kabisa kwa taifa letu;https://youtu.be/I0v8MefwvYU

SIMU.TV: Rais wa Zanzibar Dr Alli Mohamed Shein, ameutaka mfuko wa hifadhi za jamii visiwani humo ZSSF kubuni miradi ya kisasa ili kujiendesha kibiashara;https://youtu.be/PcP8G6wZ_tM

SIMU.TV: Wadau mbalimbali wa uchumi nchini wameiomba serikali kupunguza mlolongo mrefu wa upatikanaji wa vibali kwa ajili ya kujenga viwanda; https://youtu.be/v2xUy7WZLbI

SIMU.TV: Benki ya TIB imetumia wiki ya huduma kwa wateja kuongea na wateja wao ili kuweza kupata mrejesho wa huduma wanazotoa kwa wateja wake; https://youtu.be/gh15-ngVSAQ

SIMU.TV: Timu ya Simba imeliomba shirikisho la mpira TFF kuleta waamuzi kutoka nje ya nchi ili kuondoa uwezekano wa kutoa kwa vurugu; https://youtu.be/hCAsFQoMLcg

SIMU.TV: Kampuni inayosimamia tiketi za kielekitroni ya Selcom, imesema imefanyia marekebisho mapungufu yaliyojitokeza katika mchezo wa Yanga na Simba;https://youtu.be/WxtdfBCWUCs

SIMU.TV: Wasanii wanaoshiriki shindano la kutafuta vipaji linaloratibiwa na TBC la Klabu Raha Leo show, wamepiga kambi katika shule ya Filbert Bayi Kibaha;https://youtu.be/YY30_yY0ixI  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...