SIMU.TV: Wamiliki wa vyombo vya usafiri nchini wameshauriwa kuvikaguia vyombo vyao kabla ya kuanza safari ili kupunguza ajali za barabarani nchini. https://youtu.be/Ryy3Qre48-U

SIMU.TV: Benki kuu ya Tanzania BOT imetangaza kuchukua umiliki wa benki ya Twiga kutokana na benki hiyo kukosa mtaji wa kutosha. https://youtu.be/1BZ6Y58mY0U

SIMU.TV: Chama cha mapinduzi CCM kimeridhishwa na utendaji wa rais Dr. John Pombe Magufuli kwa kuzuia mianya ya rushwa na kuimarisha nidhamu ya utendaji kwa watumishi wa umma. https://youtu.be/Nu38NtgkSq0

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amemaliza mgogoro wa muda mrefu kati ya mafundi gereji wa Tegeta na mwekezaji uliodumu kwa miaka mingi wakigombania ardhi. https://youtu.be/lZAdPDHk-Qw

SIMU.TV: Vijana wengi hususani waishio mijini wanatarajia kunufaika na mafunzo ya ufundi stadi na ujasiriamali ili kuweza kujikomboa kiuchumi. https://youtu.be/k4hpPr2cZRI

SIMU.TV: Wananchi wa kata ya Mundarara wilayani Longido wanakabiliwa na changamoto ya ubovu wa barabara na daraja jambo linalowafanya kushindwa kufika vijiji vingine kipindi cha mvua. https://youtu.be/MhQy__3pens

SIMU.TV: Serikali imepongeza juhudi zinazochukuliwa na kampuni ya simu Tanzania ili kuboresha utendaji wa kampuni pamoja na kukidhi utoaji wa huduma bora. https://youtu.be/3XpPdqo8Rzs

SIMU.TV: Wananchi wa kitongoji cha Mnazi Mmoja katika mji wa Kilwa Masoko wamefika katika ofisi za mkuu wa wilaya ya Kilwa ili kujua hatma ya fidia zao ili waweze kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa Kilwa. https://youtu.be/sDYHG-nuuH8

SIMU.TV: Klabu ya Azam Fc imeendelea kupeleka machungu kwa klabu ya Kagera Sugar baada ya kuifunga mabao mawili kwa moja kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara. https://youtu.be/rO5o4yM3g44

SIMU.TV: Serikali imeshauriwa kurudisha mitaala ya michezo katika shule za msingi na sekondari ili kuwafanya vijana kuwa na hamasa ya michezo. https://youtu.be/7k3DhYoQsu4

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Tarime amekabidhi msaada wa vifaa vya michezo kwa timu ya Forodhani Cargo inayojishughulisha na uvushaji wa mizogo katika bandari ya Sirari. https://youtu.be/crO8-4dYpaQ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...