UJUMBE KWA WAONGEAJI
WA KISWAHILI WAISHIO UK
Ni jumapili hii ijayo ya tarehe 16/10/2016 kanisa letu la Kiswahili hapa London linatimiza miaka 40. Tunawaomba waongea kiswahili wote mlioko UK mje kuhudhuria sherehe hii itakayorushwa live ili dunia nzima ione.
Mgeni rasmi atakuwa Dk. Alex Malasusa,
Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani.
Mimi pia nitakuwepo na nitaimba kwaya live. Wewe je unasubiri ninii?
Kwa maelezo zaidi piga namba hizi chini
Moses Shonga 07914089734
Chris Lukosi 07903828119
BWANA ASIFIWE SANA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...