Naibu Katibu Mkuu wa klabu ya gofu ya Lugalo ya Jijini Dar es Salaam Kanali Rajabu Mwenyumbu akiangalia Mazoezi ya mwisho ya timu ya klabu hiyo ambayo inatarajia kushiriki katika mashindano ya wazi yanayotarajia kufanyika Mwishoni mwa Wiki Hii Jijini Arusha.
Naibu katibu mkuu wa Klabu ya gofu ya jeshi ya Lugalo Kanali Rajabu Mwenyumbu akizungumza na wachezaji wa gofu wa klabu hiyo ya jijini Dar es salaam wanao tarajiwa kushiriki katika mashindano ya wazi yanayotarajia kufanyika mwisho wa Wiki hii Jijini Arusha.
Naibu katibu Mkuu wa Klabu ya Gofu ya Jeshi ya Lugalo Kanali Rajabu Mwenyumbu akisalimiana na wachezaji wa gofu wa timu hiyo wanao tarajiwa kushiriki katika mashindano ya wazi Jijini Arusha mwisho wa Wiki hii.
PICHA NA LUTENI SELEMANI SEMUNYU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...