Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam,wakishiriki katika mazoezi ya viungo yaliyoandaliwa na EFM radio na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania,Wakifanya mazoezi katika kiwanja cha Magunia Msasani jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam,wakishiriki katika mazoezi ya viungo yaliyoandaliwa na EFM radio na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania,Wakifanya mazoezi katika kiwanja cha Magunia Msasani jijini Dar es Salaam.
Msanii chipukizi wa mziki wa singeli, Yohana Mruta akiimba baada ya mazoezi ya viungo kuisha yaliyoandaliwa na EFM radio na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kiwanja cha Magunia Msasani jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...