Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na mkewe Mama Mary Majaliwa wakiangalia kiwanda  cha ILULU kilichokuwa kinatengeneza mafuta ambacho mwuekezaji amekifanya kuwa ghala na kukitelekeza na watu kuiba vifaa na kufanya uharibifu mkubwa. Kiwanda hicho kipo Nachingwea  Mkoani Lindi ambako Waziri Mkuu yupo katika ziara ya kikazi katika wilaya ya Nachingwea.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia baadhi ya magari yalivyoharibika ambayo yalikuwa yanamilikiwa na kiwanda cha kukamua ufuta  ILULU  wilayani Nachingwea Mkoani lindi ambapo mwekezaji aliyekichukua amebadili matumizi na kukifanya Ghala la kuhifadhia bidhaa kushoto kwa waziri mkuu ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Godfrey Zambi. 
Picha na Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...