SIMU.tv: Watoto wa jamii ya kifugaji ya  kisukuma wilayani Morogoro wanasoma katika vyumba vya madarasa vilivyoezekwa kwa mabua;https://youtu.be/ORv3NpWBxac

SIMU.tv: Katika hali isiyo ya kawaida mkazi mmoja mjini Dodoma ajenga ukuta katika eneo la  hifadhi ya barabara;https://youtu.be/gprtO1fUwNY

SIMU.tv: Jeshi la mkoani Rukwa linamshikilia diwani mmoja kwa kosa la kukutwa silaha pamoja na madawa ya kulevya aina ya bangi;https://youtu.be/fj4rQbfGzVI

SIMU.tv: Mwanamke mmoja mkazi wa kikiji cha Igoji  wilayani Mpwapwa atishiwa kuawa kwa kosa la kuelezea kero wanazopata wananchi wakati wa kikao cha hadhara; https://youtu.be/9bDFxmzWdbg

SIMU.tv: Waziri mkuu Kassm Majaliwa apokea msaada wa zaidi ya shilingi milioni 27 kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera; https://youtu.be/UhdwIIOS6wE

SIMU.tv: Baraza la taifa la hifadhi wa mazingira NEMC yaitoza faini ya shilingi million 12 halmashauri ya manispaa ya Tabora kwa kushindwa kutunza mazingira; https://youtu.be/8ZJRX4pKvqU

SIMU.tv: Mgogoro wa kugombania eneo la makaburi yaliopoa Karume  wilaya ya Ilala jiji Dar es Salaam  waibuka upya tena;https://youtu.be/tCb3_mMSS64

SIMU.tv: Mwili wa aliyekuwa mjumbe wa baraza kuu wa CUF marehemu Ashura Mustapha azikwa jijini Dar es Salaam;https://youtu.be/4jC8aOYPNYg

SIMU.tv: Rais John Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na  naibu waziri wa biashara wa jamhuri ya watu wa China;https://youtu.be/AIzUuQ846OE

SIMU.tv: Serikali ya Zanzibar yasema haitasita kumfukuza mwekezaji yeyote atakayekiuka sheria na taratibu za uwekezaji;https://youtu.be/SnSN29pO5E0

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...