SIMU.tv: Watoto wa jamii ya kifugaji ya kisukuma wilayani Morogoro wanasoma katika vyumba vya madarasa vilivyoezekwa kwa mabua;https://youtu.be/ORv3NpWBxac
SIMU.tv: Katika hali isiyo ya kawaida mkazi mmoja mjini Dodoma ajenga ukuta katika eneo la hifadhi ya barabara;https://youtu.be/gprtO1fUwNY
SIMU.tv: Jeshi la mkoani Rukwa linamshikilia diwani mmoja kwa kosa la kukutwa silaha pamoja na madawa ya kulevya aina ya bangi;https://youtu.be/fj4rQbfGzVI
SIMU.tv: Mwanamke mmoja mkazi wa kikiji cha Igoji wilayani Mpwapwa atishiwa kuawa kwa kosa la kuelezea kero wanazopata wananchi wakati wa kikao cha hadhara; https://youtu.be/9bDFxmzWdbg
SIMU.tv: Waziri mkuu Kassm Majaliwa apokea msaada wa zaidi ya shilingi milioni 27 kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera; https://youtu.be/UhdwIIOS6wE
SIMU.tv: Baraza la taifa la hifadhi wa mazingira NEMC yaitoza faini ya shilingi million 12 halmashauri ya manispaa ya Tabora kwa kushindwa kutunza mazingira; https://youtu.be/8ZJRX4pKvqU
SIMU.tv: Mgogoro wa kugombania eneo la makaburi yaliopoa Karume wilaya ya Ilala jiji Dar es Salaam waibuka upya tena;https://youtu.be/tCb3_mMSS64
SIMU.tv: Mwili wa aliyekuwa mjumbe wa baraza kuu wa CUF marehemu Ashura Mustapha azikwa jijini Dar es Salaam;https://youtu.be/4jC8aOYPNYg
SIMU.tv: Rais John Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na naibu waziri wa biashara wa jamhuri ya watu wa China;https://youtu.be/AIzUuQ846OE
SIMU.tv: Serikali ya Zanzibar yasema haitasita kumfukuza mwekezaji yeyote atakayekiuka sheria na taratibu za uwekezaji;https://youtu.be/SnSN29pO5E0
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...