Pichani wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni,Bw. William Makufwe akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya walipokuwa wakisikiliza kero za wanakijiji cha Kitumbi
Mkuu wa Wialaya ya Handeni,Mh Godwin Gondwe akizungumza na wanakijiji wa kijiji cha Kitumbi .

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Bw. William Makufweakizungumza na wanakijiji wa kijiji cha kitumbi.
Afisa ardhi wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni Bw. Sixtus Akiwaelewesha wanakijiji wa kijiji cha kitumbi kuhusu ardhi.
Baadhi ya wanakijiji wa kijiji cha kitumbi wakitoa kero zao kwa Viongozi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...