Katika Katiza katiza ya libeneke hili katika Mji Mkuu wa Tanzania Dodoma Na kujionea hali halisi iliyopo Mjini hapo katika Swala la Usafi Kwakeli Dodoma Hali ni Shwari kabisa maeneo mbalimbali ya Mji mkuu Yanapendeza na Kumeremeta pia Kama ambavyo Taswira ya mnara Unao utambulisha Mji Huo ukiwa Nadhifu.
Baadhi ya Akinamama Wanao Husika Na Kufanya Usafi Mji Mkuu Dodoma Wakiwa Katika Usafi wa Mazingira Kama Ilivyo Kawaida Kwao kuhakikisha Mji Mkuu Dodoma Unatakata Kila Kuitwapo Leo.
Moja Kati ya Mtaa Mashuhuri sana Mjini Dodoma mkabala na Nyerere Square Ukimeremeta pia kwa Kuwa Safi Kama Ambavyo Unekanavyo Katika Taswira.
Mambo ni Safi Sanaa Dodoma..
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...