Aliyepo katikati ni Rais wa Shirikisho la Karate nchini Tanzania ambaye pia ni mkufunzi wa Goju Ryu Karate Mkoa wa Kilimanjaro Sensei Geofrey Kalonga, wa kwanza kulia ni Sensei Hamis Wembo ambaye ni mkufunzi wa polisi mkoa wa Kilimanjaro ambaye pia ni Katibu mkuu wa Chama cha Karate mkoa wa Kilimanjaro,aliyepo kulia kwake ni Mkufunzi wa chuo cha polisi Moshi( CCP)Sensei Ibrahim Mganga , wakiwa katika tamasha la kuwatunuku vyeti wanafunzi wa katare waliofuzu mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi wa shule ya msingi Mwenge iliyopo Manispaa ya Moshi Mjini.Picha na Vero Ignatus Blog.
Sensei Hamza Mzonge ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa chama cha Karate mkoa wa Kilimanjaro akitoa maelekeza kwa wahitimu mafunzo ya mchezo  wa Karate Mkoa wa kilimanjaro.Picha na Vero Ignatus blog.

Wahitimu wa mafuzo ya karate wakionyesha yale waliyojifinza kabla ya kukabiddiwa vyeti vyao hapo pia wakina dada wamo ndani wakionyesha kata mbalimbali.Picha na Vero Ignatus Blog.
Mwanadada Matilda Mallya akifanya yake katika karate kwenye tamasha hilo la kukabidhiwa vyeti kwa wahitimu lililofanyika katika ukumbi wa Shule ya Msingi Mwenge iliyopo Manispaa ya Moshi mjini ambapo yeye alipewa cheti kwa kufuzu mafunzo ya mkanda wa brown. 



Mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya Karate akipokea cheti chake katika tamasha lililofanyika katika shulke ya msingi Mwenge iliyopo manispaa ya Moshi mjini mkoani Kilimanjaro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...