Kaimu Mkurugenzi Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini(TPDC) Mhandisi
Kapulya Musomba akizungumza na waandishi wa habari kukanushaTaarifa
zinazoenezwa na kampuni ya Dangote pamoja na washirika wake kupitia mitandao ya
Kijamii na vyombo vya Habari kuhusu kushindwa kukiuzia gesi asilia kwa bei rahisi
kiwanda hicho.Kulia kwake ni Kaimu Kamishana wa Madini Mhandisi John Shija,Kaimu
Meneja manunuzi TPDC Bw.Donal Aponde na Meneja Mawasiliano wa TPDC Bi.Maria
Msellemu.
Home
TAARIFA
TPDC YAKANUSHA TAARIFA ZINAZOENEZWA KWENYE MITANDAO NA VYOMBO VYA HABARI KUWA IMESHINDWA KUKIUZIA KIWANDA CHA DANGOTE GESI ASILIA KWA BEI NAFUU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...