Mmoja wa wakazi wa jiji la Dar akivushwa barabara mtaa wa Samora mapema leo jijini Dar,huku moja ya gari ikivunja sheria za Barabarani bila kujali usalama wa wapita njia ama vyombo vingine vya moto,hali inayoweza kusababisha ajali.Madereva wanapaswa kuwa makini wakati wote waendeshapo vyombo vya moto ikiwemo na kuzijua njia wazipitazo kuepuka kuwa chanzo cha ajali. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...