Mkurugenzi wa Taasisi ya Childbith Survival International (CSI) Tanzania, Stella Masala Mpanda akikabidhi kwa Mkuu Msaidizi wa Kitengo cha Elimu wa Taasisi ya DMF, Rahma Amood, sehemu ya mavazi maalum ya Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti), makabidhiano yaliyofanyika katika Ofisi za DMF, Victoria jijini Dar es salaam leo. Mavazi hayo yametolewa ikiwa ni msaada kutoka Taasisi hiyo ya CSI inayosaidiana na Serikali katika kupungiza vifo vya wanawake na watoto, kuwafundisha wasichana namna ya kujikwamua kimaisha na mambo mengine mengi ya kijamii. Sehemu ya msaada huo ni pamoja na Kofia za watoto hao, soksi pamoja na pempas.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...