Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro(Pili Kuhsoto)
akifungua kikao kazi na Maafisa Watendaji wa Kata, Mitaa pamoja na Wenyeviti wa
Mitaa.
Wakuu wa Idara, maafisa watendaji wa
Kata, Mitaa pamoja na wenyeviti wa Mitaa 154 ya Jiji la Arusha wakifuatilia
kikao kazi kilichoitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha.
1
Afisa Mtendaji Kata ya Baraa Bi. Anna Lebisa akiwasilisha changamoto
mbalimbali zilizoko katika kata yake.
Afisa Mtendaji Kata ya Ngarenaro Bw. Joshua Nasari (aliyesimama)
akichangia katika Kikao Kazi kilichoitishwa na Mkuu wa Wilaya.
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro (Pili kushoto)
akitolea ufafanuzi wa hoja mbalimbali
zilizowasilishwa na wajumbe wa Kikao Kazi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...