Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye(aliyesimama) akizungumza na Kamati ya Bunge ya maendeleo ya Jamii pamoja na Uongozi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) wakati kamati hiyo chini ya mwenyekiti Mhe. Peter Serukamaba (Mb) ilipotembelea Shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam .
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya maendeleo ya Jamii Mhe. Peter Serukamba(Mb) (aliyesimama)akitoa maelezo mafupi kuhusu dhumuni la ziara ya kamati hiyo katika Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) katika kikao kazi wakati kamati hiyo ilipotembelea TBC leo Jijini Dar es Salaam .Wa kwanza kulia ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura.
Mkurugenzi wa Shirika la la Utangazaji la Taifa (TBC) Dkt. Ayoub Ryioba(aliyesimama) akieleza utendaji kazi wa Shirika kwa Kamati ya Bunge ya maendeleo ya Jamii wakati kamati hiyo ilipotembelea TBC leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye na kulia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Zungu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...