Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akisalimiana na Dk,Ameesh Mehta mara baada ya kuwasili katika Ufunguzi wa Hospitali ya Dk,MEHTA(DR MEHTAS HOSPITAL)Ilioko Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit kombo akikunjuwa kitambaa ikiwa ni ishara ya Uwekaji wa jiwe la msingi la Hospitali ya Dk,Mehta(DR MEHTAS HOSPITAL)Ilioko Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit kombo akikata utepe ikiwa ishara ya Ufunguzi wa  Hospitali ya Dk,Mehta(DR MEHTAS HOSPITAL)Ilioko Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.
 Waziri wa Afya Mahmoud Thabit kombo akipata maelezo kuhusiana na dawa kutoka kwa Dokta Mkuu Ameesh Mehta katika Ufunguzi wa  Hospitali ya Dk,Mehta(DR MEHTAS HOSPITAL)Ilioko Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. 
Dokta Mkuu wa Hospitali ya Dk,MEHTA,Ameesh Mehta akitoa hotuba katika Ufunguzi wa Hospitali hio Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.​

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...