Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Abdalah Pazi maarufu kama Dullah Mbabe (kushoto) akitunishiana Misuli na mpinzani wake Abdi  Kivu anayataraji kuzichapa nae kesho katika ukumbi wa Mwananyamala Mwinjuma Kinondoni katika pambano lisilokuwa na ubingwa.
 Khalid Chokoraa akiwa na Mpinzani wake wakitunishiana misuli baada ya kumaliza kupima uzito kwa ajili ya pambano la kesho. katikati ni Kocha wa Masumbwi nchini, Rajab Mhamila a.k.a Super D.
 Mabondia Chipukizi  wakitambia kwa ajili ya pambano la kesho
 Mashabiki wa Abdi Kivu wakiwa wanaimba mara baada ya bondia wao kumaliza kupima uzito
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Abdalah Pazi maarufu kama Dullah Mbabe akiwa na Mashabikiwa wake akiondoka ndani ya ukumbi wa Mwananyamala Mwinjuma mara baada ya kumaliza kupima uzito.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...