Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye, akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kueleza mipango mbalimbali ya jeshi hilo ikiwemo uzinduzi wa klabu katika shule za sekondari nchini, zitakazotoa elimu ya uzimaji moto kwa wanafunzi. Kushoto ni
Afisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari MAELEZO Bw. Casmir Ndambalilo.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji, Thobias Andengenye, akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo
mbalimbali (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kueleza mipango mbalimbali ya
jeshi hilo ikiwemo uzinduzi wa klabu katika shule za sekondari nchini,
zitakazotoa elimu ya uzimaji moto kwa wanafunzi. Mkutano huo umefanyika katika
Ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo), jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Afisa
Habari Mwandamizi, Casmir Ndambalilo.
Baadhi ya Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano
Mkuu wa Jeshi la Zima Moto na Uokoaji Kamishna Jenerali Thobias Andengenye Leo Jijini Dar es Salaam kuhusu mikakati ya
Jeshi hilo kuboresha huduma wanazotoa
kwa kushirikisha wadau wa Maendeleo.
(Picha zote na Frank Mvungi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...