Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Matokeo ya michezo ya mpira wa kikapu iliyochezwa wikiendi hii ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam RBA Wiki ya tisa.
7/4/2017
Jogoo 75/61 Chui
Jkt 74/79 Kurasini heat
Pazi 58/54 Ukonga k.
Trh 8/4/2017
Chui 62/69 Youngstars
Magnet 60/88 Jogoo
Mgulani 44/68 Mabibo
Abc 83/50 Outsiders
Jkt 72/49 Ukonga k.
Trh 9/4/2017
Mgulani 47/52 Chui
Michezo mingine haikuchezwa kwa sababu ya mvua pamoja na kukatia kwa umeme.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...