Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.

Matokeo ya michezo ya mpira wa kikapu iliyochezwa wikiendi hii ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam RBA Wiki  ya tisa.

 7/4/2017

Jogoo 75/61 Chui


Jkt 74/79 Kurasini heat

Pazi 58/54 Ukonga k.

Trh 8/4/2017

Chui 62/69 Youngstars 

Magnet 60/88 Jogoo 

Mgulani 44/68 Mabibo

Abc 83/50 Outsiders 

Jkt 72/49 Ukonga k.

Trh 9/4/2017

Mgulani 47/52 Chui

Michezo mingine haikuchezwa kwa sababu ya mvua pamoja na kukatia kwa umeme.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...