Msamalia akiipiga kibega gari iliyokuwa imezimika ghafla kwenye maji yaliyotuama katika Barabara ya Umoja wa Mataifa, Upanga jijini Dar es salaam mchana wa leo. Hali hii imefikia hivyo, kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa nchini.
Gari ikipafua maji katika Barabara ya Umoja wa Mataifa, Upanga jijini Dar es salaam mchana wa leo.
Hivi ndivyo hali ilivyo katika Barabara ya Umoja wa Mataifa, Upanga jijini Dar es salaam mchana wa leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...