Msamalia akiipiga kibega gari iliyokuwa imezimika ghafla kwenye maji yaliyotuama katika Barabara ya Umoja wa Mataifa, Upanga jijini Dar es salaam mchana wa leo. Hali hii imefikia hivyo, kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa nchini.
 Gari ikipafua maji katika Barabara ya Umoja wa Mataifa, Upanga jijini Dar es salaam mchana wa leo.
Hivi ndivyo hali ilivyo katika Barabara ya Umoja wa Mataifa, Upanga jijini Dar es salaam mchana wa leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...