Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Ruvuma ABEL SWAI amewataka madereva pikipiki maarufu kama bodaboda kuvaa kofia ngumu katika kujinga na ajali za mara kwa mara wawapo barabarani kwa undani wa habari hii , Hii hapa video yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...