Mother & Child Gala inatarajiwa kufanyika April 22, 2017 pale katika ukumbi wa Danken House Mikocheni. Ni Kwa ajili ya Wamama, mama wadogo, Shangazi, walezi Na watoto wa miaka 8-12 wa kike Na wa kiume. Watoto wakianza kupevuka wanapata mabadiliko mbali mbali physically and mentally Na kupitia stage mbali mbali Za mabadiliko hayo. Je Kama mama umesha ongea Na mwanao kuhusu mabadiliko hayo? Je umemtayarishaje mtoto wako kupitia kipindi hiki? Changamoto gani mtoto anazipata kipindi hiki huko shuleni, Kwa marafiki, Kwa familia Na Kwa jamii Kwa ujumla? Vunja ukimya ongea Na mwanao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...