Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (aliyevaa
kofia) akifanya mazoezi na vikundi vya michezo kutoka Zanzibar na Tanzania
Bara kabla ya kufungua Bonanza kubwa la michezo lililofanyika katika viwanja
vya Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi, Zanzibar. Katika hotuba yake, Masauni
aliwataka wanamichezo hao pamoja na wananchi hapa nchini kwa ujumla,
kudumisha mazoezi zaidi ili waweza kupata afya bora.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia)
akifanya mazoezi na vikundi vya michezo kutoka Zanzibar na Tanzania Bara kabla
ya kufungua Bonanza kubwa la michezo lililofanyika katika viwanja vya Makao
Makuu ya Jeshi la Wananchi, Zanzibar. Katika hotuba yake, Masauni aliwataka
wanamichezo hao pamoja na wananchi hapa nchini kwa ujumla, kudumisha
mazoezi zaidi ili waweza kupata afya bora.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni
akizungumza na wanamichezo wa vikundi mbalimbali kutoka Zanzibar na
Tanzania Bara mara baada kiongozi huyo kufanya mazoezi ya viungo na
wanamichezo hao katika Viwanja vya Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi,
Zanzibar. Katika hotuba yake, Masauni aliwataka wanamichezo hao pamoja na
wananchi hapa nchini kwa ujumla, kudumisha mazoezi zaidi ili waweza kupata
afya bora.
Msoma Risala wa Kikundi cha Michezo cha Island Erercise Club cha mjini
Unguja, Zanzibar, Ally Mussa, ambacho ndio waratibu wa Bonanza la Vikundi vya
Michezo kutoka Visiwani humo pamoja na Tanzania Bara, akitoa historia fupi ya
kikundi hicho pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, kabla ya mgeni
rasmi, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni
(kulia) kukariboishwa kuzungumza na mamia ya wanamichezo ambao walifanya
mazoezi mbalimbali katika Viwanja vya Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi,
Zanzibar leo. Wapili kulia ni Bregedi Kamanda KV101 kambi ya nyuki, Kanali
Fadhili Nonda.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni
akiumwagilia maji mti wa kumbukumbu alioupanda katika eneo la Makao Makuu
ya Jeshi la Wananchi, Zanzibar, mara baada ya kufanya mazoezi ya viungo katika
Bonanza la Vikundi vya Michezo kutoka visiwani humo pamoja na Tanzania Bara.
Masauni aliwakilisha Makamu wa Rais, Sami Suluhu katika sherehe hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...