Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali(CAG) Prof Musa Assad na Mwenyeketi Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu
za Serikali (PAC) Mhe.Naghenjwa Kaboyoka
wakiangalia moja ya kitabu cha Ripoti kutoka Ofisi yake wakati
alipokutana na na waandishi wa Habari(hawapo
Pichani) kuhusu Ripoti ya Ofisi yake kwa mwaka wa Fedha unaoisha 2015/2016 Leo
Aprili 13,2017 Mjini Dodoma.Picha zote na Raymond Mushumbusi MAELEZO Dodoma.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali(CAG) Prof Musa Assad akizungumza na waandishi wa Habari(hawapo
Pichani) kuhusu Ripoti ya Ofisi yake kwa mwaka wa Fedha unaoisha 2015/2016 Leo
Aprili 13,2017 Mjini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...