Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Savants Initiative Bw. Peter Thadeo (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa programu ya Jiongeze Kijana mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Afisa Mawasiliano toka kituo cha Mawasiliano cha Umoja wa Mataifa Bi. Stella Vuzo na kushoto ni Afisa Habari toka Iadara ya Habari (MAELEZO) Bw. Benjamin Sawe.
Afisa Mawasiliano toka Kituo cha Mawasiliano cha Umoja wa Mataifa Bi. Stella Vuzo (kushoto) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa programu ya Jiongeze Kijana mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Savants Initiative Bw. Peter Thadeo na kulia ni Mwanzilishi na afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Inspassion group Bw. Fortunatus Ekklesiah
Picha na Eliphace Marwa - Maelezo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...