Beki wa Timu ya Taifa ya Vijana ya Ghana (U17) , Yusif Abdulrazak akiondosha mpira mbele ya Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Vijana - Serengeti Boys, Yohana Mkomola, katika Mchezo wa kimataifa wa kirafiki, uliopichezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana goli 2-2.
Mshabuliani wa Timu ya Taifa ya Vijana - Serengeti Boys, Kelvin Naftal akitafuta mbinu za kumtoka Beki wa timu ya Beki wa Timu ya Taifa ya Vijana ya Ghana, Antah Isaac, katika Mchezo wa kimataifa wa kirafiki, uliopichezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana goli 2-2.
Mshambuliaji wa Serengeti Boys, Muhsin Malima akiipatia timu yake bao la pili, dhidi ya wageni wao Ghana, katika Mchezo wa kimataifa wa kirafiki, uliopichezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana goli 2-2.
Wachezaji wa Serengeti Boys wakishangilia baada ya kupata goli la pili na kufanya matokeo kuwa 2-2 dhidi ya Ghana, katika Mchezo wa kimataifa wa kirafiki, uliopichezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...